Hii shamba ni zuri kwa muwekeshaji WA MBUZI, NG'OMBE,kujenga na kulima,iko na maji ya meferegi from Masinga dam,stima iko next,km 1.5 from main Kaewa kyondoni road na 4km kutoka barabara kuu ya lami kanyonyoo kiritiri Embu road ,sehemu ya juu 15 acree inapanda mlima yenye nyasi na matawi zuri ya KULISHA MBUZI na kondoo.Sehemu ya chini kama acre 7 NI tabarare ya kujenga na kulima.Pia kuna MTO karibu uko na maji through out the year na neighbours wengi na soko ya Mukaa Scott mkt next... Karibu wakati wowote utembelee na ujionee Mwenyewe.Nambari ya simu