Hii shamba iko matuga sub count maeneo ya kombani unaingia nahapo kibao Cha kombani secondary kilomita moja na nusu utakua umefika shambani
Ukubwa wake nihekari 3na nusu
Bei ya 2,000,0000/ kwakila heka moja shamba hii ilipimwa miaka ya 70 huko iko na namba haija chukulia title deed na mwenyewe alifariki sasa niwahusika wake ndio wanauza endapo watapata mnunuzi awape pesa ya Kwanza watarithi na wamuuzie
Hawa ni waisilamu urathi wao
Ni Kama siku 30 hivi
Shamba iko tambarare na hapaingii maji Mana iko juu na
Nipahala pazuri Sana ,