Kristo aliwafundisha wanafunzi wake kuwa katika ufakme WA mbinguni hakuna mipaka ya nchi, wala hakuna ubaguzi WA rangi au kabila za watu.watu wote WA ulimwengu lazima wasikie injili ya Neema ya upendo wa Mungu.Lakini hawakuelewa mambo hayo mpaka baadaye ndipo walipotambua kuwa Mungu aliyewaumba wanadamu ,amekusudia watu wote waokolewe.
Yohana na yuda wote walikuwa pamoja na yesu,kila mmoja alikuwa na kasoro kubwa katika tabia yake .Lakini mmoja alipokuwa akifanya matengenezo maishani ,mwingine alikuwa msikilizaji Tu.